Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Watu Mkoa wa Tanga Watoa Mpya...Wajipanga Kusoma Albadiri Kwa Aliyempiga Risasi Tundu

Kwenye Mitandao ya Jamii kunazunguka hiyo picha hapo juu ukionyesha kuwa kuna watu kutoka Tanga Wanachangisha Mchango kwa ajili ya  kuwasomea Albadiri kwa wote waliofanya tulikio hilo. Wameomba wajitokeze wote waliofanya unyama kwa Lissu kabla ya Dua kusomwa

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017