Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

VIDEO: RC Makonda afunguka kuhusu kijana aliyemkumbatia Rooney

Mechi kati ya Everton na Gor Mahia iliyochezwa Uwanja wa Taifa Alhamisi hii imeacha matukio mengi ya kihistoria katika soka nchini Tanzania. Mchezo huo ulimalizika kwa vijana hao wa Donald Koeman kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Gor Mahia ya nchini Kenya.

Moja ya tukio kubwa ambalo lilijitokeza katika mchezo huo ni lile la shabiki kuingia uwanjani katikati ya mchezo na kwenda kumkumbatia mshambuliaji machachari wa Everton, Wayne Rooney. Hata hivyo kijana huyo aliachiwa muda mfupi baabaye baada ya Mwenyekiti wa Usalama wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kuamuru kijana huyo kuachiwa

TAZAMA VIDEO HAPO CHINI KUHUSU RC MAKONDA NA KIJANA HUYO 


Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017