
Gigy Money
MUUZA nyago asiyeishiwa vituko Gigy Money amefunguka kuwa jina lake limekaa kipesapesa ingawa yeye mwenyewe maisha yake kutwa kucha ni kuwatumia wanaume (udangaji) ndiko kunamweka zaidi mjini.
Akipiga stori na Showbiz- Xtra, Gigy amesema, moja ya vitu ambavyo vinavutia watu wengi ni uzuri wa jina lake na ambalo limekaa kipesapesa ingawa yeye maisha yake kwa sasa hayafanani na maana ya jina hilo.
“Jina langu tamu sana, maana yake hata namna linavyo-sound ni jina moja zuri ambalo lipo kipesapesa, ajabu pamoja na uzuri wa jina hilo maisha yangu mimi hayafanani na jina hilo, naishi kwa kudanga na maadili ya hapa na pale,” alisema Gigy Money.
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini