Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Huyu Ndo Straika Hatari Anaetarajiwa Kutua Nchini Muda Wowote Kuanzia Sasa Kujiunga Na Klabu Hii



Chrispin Mugalu 


Kuna habari kuwa mmoja kati ya Mastraika hatari nchini Zambia Chrispin Mugalu anayecheza katika klabu ya Lusaka Dynamos yupo katika Rada za Azam Fc ambao kwasasa wanahaha kuhakikisha wanapata Mrithi sahihi wa Yahya Mohammed ambaye alisitishiwa Mkataba na Azam Fc.
Straika huyo ndiye mfungaji bora wa Ligi kuu ya Zambia akiwa amemaliza na Magoli 17, TAYARI Azam wapo katika Mazungumzo naye na muda wowote Huenda akapewa jezi na wana Lamba Lamba Azam Fc.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017