HAJI MANARA mkuu wa Kitengo cha Habari na mawasiliano kama kawaida yake mara baada ya Simba kupata Ushindi wa goli 1 kwa 0, Goli likifungwa na John Bocco Haji MANARA yeye akaamua kulisifia tu goli la John Bocco.
Goli la John Raphael Bocco vs Tanzania Prisons > Linaongeza nguvu za kiume,> Linaondoa mapunye,> Linamuita aliembali, > Linaondoa mkosi, > Linaongeza bahati,> Linarudisha wapenzi walioachana,> Lina balance homoni,> Lina solve equation,> Linaondoa harara,> Linaongeza vitamin, > Linakulipia riba kwenye vikoba/saccos,> Linaondoa stress,> Linapunguza mafuta mwilini,> Lina kurushia kifurushi kama simu yako inadaiwa,> Linaondoa fujo mitandaoni,Pia linaondoa kamulomolomo mitaani...😎😎
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini