Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Kapombe Amjibu Hans Pope...Akubali Simba Wavunje Mkataba

Beki Shomari Kapombe amesema yuko tayari kama Simba watavunja mkataba.

Kapombe amesema hayo akijibu kauli ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Poppe aliyemtaka acheze au aondoke Simba kwa kuwa hawako tayari kuendelea kumlipa bure bila kufanya kazi.

“Mimi ni majeruhi, siwezi kucheza. Kama wanaona wanataka kuvunja mkataba niko tayari.
Usipitwe na Habari Muhimu, Install App  Yetu


Android ===>  Bofya hapa
“Asingekwenda kuzungumza kwenye vyombo vya habari, angenitafuta mimi ili kujua kinachoendelea,” alisema.

Kapombe amekuwa akiendelea na matibabu tokea ajiunge na Simba akitokea Azam Fc.

Hajapata nafasi ya kuichezea Simba jambo ambalo linaonekana kumuudhi Hans Poppe.


Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017