
Baada ya Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani Mwanamuziki Nikki wa Pili ameandika haya:
Democrasia ni uhuru wa watu kushiriki kujiamulia hatma ya maisha yao, sio kushiriki kupiga kura alafu baada ya hapo hatma inakuwa mikononi mwa watu wachache wanaa amuwa wapendavyo na wengi hawana kauli hamna hata nafasi ya kuhoji #illusion ya democrasia wakilishi
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini