
Video Queen maarufu wa Bongo aitwae Tunda amezungumza kuhusu yale maneno yaliyosambaa mitandaoni kwamba yeye ni Mjamzito huku akidaiwa kutoka kimapenzi na Mwimbaji Staa wa Bongofleva Diamond Platnumz.
Gumzo lake la kutoka na Diamond lilianzia pale alipoamua kuweka kwa siku kadhaa picha ya Diamond Platnumz kwenye sehemu ya Profile Picture ya Whatsapp yake, bonyeza play hapa chini kumtazama Tunda akiongea mwanzo mwisho
VIDEO:
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini