Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

ZIMBABWE: Rais Mnangagwa Ampa Shavu Mugabe..


Rais wa Mpito, Emmerson Mnangagwa aidhinisha rasmi tarehe ya kuzaliwa ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe (21 Februari) kuadhimishwa kama Sikukuu ya Kitaifa

Itatambulika kwa jina la "Robert Gabriel Mugabe National Youth Day" kama ambavyo ilipendekezwa na chama tawala mnamo mwezi Agosti mwaka huu! 

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017