Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Baba Mkwe Wa El Chapo Guzman Afungwa Miaka 10

Baba mkwe wa mlanguzi mkubwa wa dawa za kulevya , Joaquin Guzman, amehukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani kwa kupenyeza bangi nchini Marekani.
Ines Coronel Barreras alipatikana na makosa katika mahakama moja ya Mexico, baada ya polisi kutwaa magari silaha na zaidi ya kilo 250 za bangi.
Marekani ilimwekea vikwazo miaka minne iliyopita, na kusema kwamba ni mojawepo wa vigogo wa genge la Sinaloa.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017