Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Listi Ya Viwanja Vya Ndege 20 Vilivyotumiwa Na Watu Wengi Zaidi Mwaka 2016

Baraza la Kimataifa la Viwanja vya Ndege limetoa listi ya viwanja vya ndege 20 ambavyo vinahudumia idadi kubwa ya abiria ambao wanafanya safari za anga kwa mwaka 2016.
Katika listi hiyo uwanja wa ndege wa Atlanta, Marekani unaongoza kwa kutoa huduma kwa abiria milioni 104,171,935 na nafasi ya 20 ikishikiliwa na Bangkok Suvarnabhumi, Thailand ukitoa huduma kwa abiria 55,892,428.
Listi kamili isome hapa chini;
  1. Atlanta, Marekani – abiria 104,171,935
  2. Beijing – China – abiria 94,393,454
  3. Dubai International (DXB), Falme za Kiarabu – abiria 83,654,250
  4. Los Angeles (LAX), Marekani – abiria 80,921,527
  5. Tokyo Haneda (HND), Japan – abiria 79,699,762
  6. Chicago O’Hare (ORD), Marekani – abiria 77,960,588
  7. London Heathrow (LHR), Uingereza – abiria 75,715,474
  8. Hong Kong (HKG), China – abiria 70,305,857
  9. Shanghai (PVG), China – abiria 66,002,414
  10. Paris Charles de Gaulle (CDG), Ufaransa – abiria 65,933,145
  11. Dallas/Fort Worth (DFW), Marekani – abiria 65,670,697
  12. Amsterdam (AMS), Uholanzi – abiria 63,625,534
  13. Frankfurt (FRA), Ujerumani – abiria 60,786,937
  14. Istanbul (IST), Uturuki – abiria 60,119,876
  15. Guangzhou, China (CAN) – abiria 59,732,147
  16. New York JFK (JFK), Marekani – abiria 58,873,386
  17. Singapore (SIN) – abiria 58,698,000
  18. Denver (DEN), Marekani – abiria 58,266,515
  19. Seoul Incheon (ICN), Korea Kusini – abiria 57,849,814
  20. Bangkok Suvarnabhumi (BKK), Thailand – abiria 55,892,428

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017