Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Mbunge Wa Nzega Mjini Hussein Bashe Akabidhi Gari La Wagonjwa, Akagua Miradi Ya Maendeleo Jimboni Kwake

Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akikabidhi gari la wagonjwa kwa Mwenyekiti wa Kata ya Nzega ndogo, William Jumanga kwa ajili ya Zahanati ya Zogolo iliyopo wilayani Nzega mkoani Tabora juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na mgonjwa Agnes Nobert aliyekuwa amelazwa katika Zanati ya Zogolo baada ya kutembelea juzi wilayani Nzega mkoani Tabora juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kata ya Nzega ngodo kabla ya kuwakabidhi gari la wagonjwa juzi
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, akionyesha gari la wagonjwa alilolikabidhi kwa viongozi wa Kata ya Nzega ndogo kwa ajili ya Zahanati ya Zogolo iliyopo wilayani Nzega mkoani Tabora juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mjini wa Nzega baada ya kukagua ujenzi wa Sekondari ya Nzega ndogo juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na wasimamizi wa ujenzi wa barabara ya Ngudu iliyopo Kata ya Ngeza ndogo mkoani Tabora juzi. Picha na Fidelis Felix.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017