Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Quick Rocka akana kutoka kimapenzi na Kajala Licha ya Kunaswa Wakidendeka


Quick Rocka amejitokeza na kudai kuwa hatoki kimapenzi na malkia wa filamu, Kajala Masanja na kusema hizo ni stori za uongo.


Quick Rocka aliwahi kupost video mtandaoni akidendeka na mrembo huyo.

Akiongea katika kipindi cha FNL cha EATV, akitambulisha video yake mpya ya wimbo ‘Down’, Quick Rocka amesema hajawahi kutoka na mrembo huyo wa Bongo Movie.

“Stori kuwa nilikuwa natoka na Kajala ilikuwa ya uongo, usitake nitafutia matatizo” alisema Quick Rocka huku akiwa anacheka.

Kwa sasa, imeonekana wawili hao hawana ukaribu kama ilivyokua zamani.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017