Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Serikali Yafafanua Kufukuzwa Kwa Bosi Wa UNDP


 Serikali imesema imefikia uamuzi wa kumuondoa nchini Mkurugenzi Mkazi wa UNDP Awa Dabo kwa sababu mbalimbali ikiwamo ya kutokuwa na maelewano mazuri na watumishi wenzake.
Taarifa iliyotolewa leo na kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inasema maelewano hayo mabaya na watumishi wenzake yalizorotesha utendaji kazi wa shirika hilo.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017