Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

VIDEO: ‘Serikali iache maneno iweke muziki’ –Andrew Chenge

Mbunge wa Bariadi Andrew Chenge amesema atalazimika kuiambia serikali iache maneno baaya ya kuwa imepita muda mrefu hadi sasa ikiahidi kufanya ujenzi wa barabara katika jimbo lake huku utekelezaji ukichukua muda mrefu.
Chenge amesema…>>>‘Kwa mwaka huu nakubaliana na serikali kuhusu madai yao kwamba wamekamilisha upembuzi kuhusu ujenzi wa barabara jimboni kwangu, mwaka kesho kama ikiendelea hivi mimi nitasema waache maneno waweke muziki
Full video ipo tayari gapa chini na ni ruksa kuitazama…



Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017