Baada ya Mwimbaji Ben Pol kuachia wimbo wake mpya aliomshirikisha Darassa, wimbo ambao alianza ku-promote ujio wake kwa kupost picha akiwa bila nguo, kumekua na mapokezi ya tofautitofauti kutoka kwa watu mbalimbali kutokana na picha hizo alizozitanguliza.
Baada ya kuusikia wimbo huo, Mwimbaji Baraka The Prince ametumia ukurasa wake wa Instagram kuandika masikitiko yake >>>Nimekuwa disappointed sana huu wimbo… kwa jamaaa alivyojitoa nilidhani ni kitu kikubwa kumbe upumbavu’ #saveourmusic
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini