Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Breaking: Upelelezi Kesi Ya Wema Sepetu Wakamilika


Upande wa Jamhuri umekamilisha upelelezi wa kesi inayomkabili Wema Sepetu ya kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Bangi.


Leo Mei 2, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakili wa Serikali Helleni Mushi alidai Kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na kuomba kupangwa tarehe ya kuanza kusikilizwa.

Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa Tarehe 1 mwezi Juni mwaka huu.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017