Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

PICHA 8: Ulipofikia ujenzi wa Daraja la Furahisha, Mwanza



Kila siku Jiji la Mwanza linakuwa kwenye muonekano mpya kuanzia kwenye majengo, barabara mpaka kwenye madaraja ambapo ukiachana na daraja la Mabatini, kuna Daraja jipya ambalo linaendelea kujengwa eneo la Furahisha.
Ni daraja mbalo kwa chini linaruhusu magari kupita pamoja na pikipiki na juu ya daraja hili wanatumia watembea kwa miguu. Ujenzi wa daraja hili umefikia katika hatua nzuri na kazi yangu ni kukusogeza karibu na matukio.
Leo May 4, 2017 wacha nikusogezee karibu na daraja la Furahisha jijini Mwanza kwa kukuwekea picha 8 za muonekano wa daraja hili.


Credit:Millard Ayo

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017