Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Video: Majeshi 10 Yenye Nidhamu Zaidi Duniani


Kutokana na majeshi mengi ya nchi mbalimbali duniani kushindana ili kuwa bora zaidi ya lingine, majeshi mengi yanawekeza zaidi kwenye silaha na wanajeshi wenye elimu ili kuwa bora zaidi pamoja na hayo nidhamu kwenye jeshi ni kitu ambacho kinatajwa kuchukuliwa kwa uzito mkubwa zaidi.

Leo January 07 2017 nimekutana na hii video ambayo imetaja majeshi kutoka nchi 10 yenye nidhamu zaidi duniani huku Jeshi la Kenya likiwa kwenye list. Nchi zilizotajwa ni hizi.
Jeshi la China
Jeshi la Urusi
Jeshi la India
Jeshi la korea Kaskazini
Jeshi la korea Kusini
Jeshi la Ufaransa
Jeshi la Marekani
Jeshi la Pakistan
Jeshi la Japan
Jeshi la Kenya
Unaweza kutazama video hii hapa chini

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017