KILIMANJARO: Nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Hai, Dkt. Amini Uronu imechomwa moto usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana.
Mtoto wa Mwenyekiti huyo amesema kuwa Wazazi wake wote wamelazwa baada ya kapata madhara kiasi katika miili yao.
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini