Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Huu Ndio Ujumbe Wa Harmonize Aliyoandika Baada Ya Kuachia Picha Za Mpenzi

Mnh! nawaza huu mchanganyiko wa damu ya kimakonde na ya kizungu sijui itatuletea mwana gani.
asa nikiona kakomwe hapo, kananistua.Chonde mtoto chukua vyote kwangu ila kwenye rangi jitahidi uibe ya mama yako…..!!! nikavimbe Mtwara ”


Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017