

Waokoaji wakiwa katika kazi ya kuokoa katika ajali hiyo
“This loss is something we all feel. We have found a number of the remains … of our missing shipmates, and our deepest sympathies go out to the families of those shipmates,” afisa mmoja wa jeshi a maji la Marekani ameiambia CNN.
Meli ya mizigo ilikuwa ni aina ya ACX Crystal iliyokuwa na urefu wa mita 222 na meli ya kijeshi ya Marekani ina urefu wa mita 154 ambayo pia huwa inatumika katika kuharibu makombora.

Mmoja kati ya makamanda wa jeshi la Marekani alijeruhiwa katika ajali hiyo na alikimbizwa haraka hospitalini usafiri wa helikopta.
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini