Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Staa Jay Z Na Beyonce Wapata Watoto Mapacha

Familia ya Beyonce na Jay Z imeongezeka baada ya kuwakaribisha watoto wao mapacha ambao wanaungana na Blue Ivy mwenye miaka mitano.

Chanzo kimoja kimeliambia jarida la The People, familia hiyo ya Carter inafuraha kubwa kwa sasa kutokana na tukio hilo na wameanza kutoa taarifa hizo kwa watu wao wa karibu tu.
“Bey and Jay are thrilled and have started sharing the news with their family and closest friends,” kimesema chanzo hiko.
Mapema mwezi February mwaka huu, Queen Bey kupitia mtandao wa Instagram alithibitisha kuwa na ujauzito huo kwa kuandika, “We would like to share our love and happiness. We have been blessed two times over. We are incredibly grateful that our family will be growing by two, and we thank you for your well wishes. – The Carters.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017