Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Msanii Ebitoke Aanza Kuchat Na Ben Pol Laivu



Msanii Mchekeshaji Ebitoke baada ya kutamka mtandaoni kuitaka ndoa na msanii Ben Po lakini kubwa zaidi aliomba nafasi ya kukutana naye ili aweze kumueleza Ana kwa ana, Ben Pol alikubali la ombi hill la kukutana nacye.

Tumepiga stori na Ebitoke kutaka kujua kama tayari ameshaonana na Ben Pol? Amejibu kuwa Mpaka sasa hawajaonana Ila Wanachati sana na kupigiana simu!

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017