Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Ulisikia Wema Sepetu Ameingia Kwenye Bongo Flava? Basi Huu Ndio Wimbo Aliyoshirikishwa Wema Sepetu


MSANII wa kike anayepanda kwa kasi kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva Bongo, Haitham Ghazal Seif ‘Haitham’ ambaye pia yuko chini ya Lebo ya MJ Records jana ameachia ngoma mpya aliyomshirikisha Staa wa Bongo Wema Sepetu yenye jina la Play Boy.

 VIDEO:


Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017