MSANII wa kike anayepanda kwa kasi kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva Bongo, Haitham Ghazal Seif ‘Haitham’ ambaye pia yuko chini ya Lebo ya MJ Records jana ameachia ngoma mpya aliyomshirikisha Staa wa Bongo Wema Sepetu yenye jina la Play Boy.
VIDEO:
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini