Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Kocha Mpya Simba Alia Na Niyonzima , Atoa Kauli Hii…

Kocha mkuu wa klabu ya Simba Pierre Lechantre amesema anahiyanakumuona kiungo wa kimataifa wa Rwanda Harun Niyonzima akirejea dimbani baada ya kupona majeraha ili kuongeza ushindani katika timu.
Kocha huyo raia wa Ufaransa amesema kuwa anamfahamu vyema Niyonzim kuwa ni mchezaji mwenye kipaji lakini anahitaji kukiona uwanjani  ili aweze kumpatia nafasi katika kikosi chake.
“Uongozi na benchi la ufundi la timu ya Simba wamenieleza kuhusu Niyonzi na mimi nakubaliana na walisemalo lakini nahitaji kumkumuona uwanjani akithibitisha yasemwayo. Alisema Lechantre.
Niyonzima amekuwa nje ya uwanja  kwa muda mrefu kutokana na kuwa majeruhi kitu kinachopelea kuhitaji mazoezi binafsi au mwalimu wa kumnoa kuhakikisha anarejea katika kiwango chake cha awali.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017