Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Full Video: Kuvamiwa Mkutano Wa Cuf...Tazama Jinsi Njemba Ilivyopokea Kipigo Baada Ya Kunaswa

Wanachama wa CUF wanadaiwa kuwa upande wa Maalim Seif wavamiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari  na kujeruhewa na watu wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Professa  Ibrahimu Lipumba.

Mkutano huo ulioitishwa na Mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya Kinondoni Juma Mkumbi ambao ulilenga kueleza kuhusu msimamo wao kuhusu mustakabali hicho kutokana na mgogoro uliokuwepo kwenye chama.

Angalia  Video  inayoelezea mkasa wote kuhusu kuvamiwa huku.  

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017