Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Hivi Wajua Mav*Zi Na Ndevu Ni Urembo Muhimu Kwako..Soma Hapa Ujue Kwa Kina


Je wajua kuwa nywele za chini aka mavuzi na ndevu ni urembo wa kimahaba?

Mwenyezi Mungu alituumba na kutuwekea hivyo akiwa na maana kabisa ila sasa binadamu wa leo wamestaarabika kiasi waonaona ndevu au mavuzi ni uchafu tena uchafu sana. Mwanaume akiwa na ndevu anaonekana mchafu sana, Au ikiwa ni mwanamke wa mwanaume na uvuzi mwingi basi mchafu.

Ntakupa mifano michache kwa wanyama

Hivi wajua kule porini kama ni SIMBA dume na halina minywele ya kutosha Simba jike hasisimki na hivyo hali mzigo

Hivi wajua hata ndege pori DUME huwa na minyoya ya kutosha na ile humpendezesha kushawishi majike

Hivi wajua hata samaki – Kama unafuga samaki hata wale wa urembo je wajua dume lazima liwe na matezi mengi mengi

Hivi wajua hata Mbwa wetu hawa akiwa siku za kupata mimba yakaja madume mengi atachagua lile lenye manywele mengi

Kwa mifano hiyo utakuwa umenisoma kiduchu.

Mwanamke kikawaida hana ndevu ila vuzi lipo… Linatakiwa lipendeze ila sio kusafisha kiwanja kinakuwa cheupeeee basi tukupe dawa zisiote tena maana huzitaki na hujui kazi yake.

Mwanamke uwe wazinyoa kwaa style ile ya kupunguza tu na ndio maana mwezi wako anatakiwa kukusaidia. Au kama kuna salon za kunyoa huko basi sio waxing bali kuzipunguza kifashion….

Kwanza ukiwa unapunguza tu hautakaa upate taizo la in-grow hair na kufanya pussy iwe na mapeleeee mabalaa duniani. Mipele inafanya pussy inakuwaa na vidoti vyeusi.

Mwanaume anatakiwa kuwa na ndevu ile ziwe ninakwatwa kwa uzuri ili kupendezesha asiache kama Alshabab – Na hata kule chini anatakiwa kupungusa kwa sehemu za kende ndio amalize ile juu ya dyudyu ndio anaacha kiasi tena ikibidi kwa style mahususi aipendayo malkia wake.

Ndevu – kidogo zatumika kukuna mgongo wa mwanamke – Imagine akiwa anakupumulia kwa nyuma alafu anakukuna na kidevu sehemu za shingo hahahha bye……

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017