Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Mashabiki Wa Yanga Mmesikia Alichokisema Manara?

Baada ya Yanga kutupwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inayojulikana kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) kufuatia kipigo cha 1-0 kutoka kwa Mbao FC katika mchezo wa Nusu Fainali jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Basi Haji Manara wa Simba ameposti ujumbe huu

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017