Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Video: Mashabiki wa Simba wafunguka kufungiwa kwa Haji Manara


Msemaji wa timu ya Simba SC, Haji Manara.

Baada ya TFF kuwapokonya simba ushindi wa mezani walioutarajia ambao ni point 3 za Kagera Sugar, hatimaye wanachama wa Simba wamefungukia kwa kina suala hilo pamoja na kufungiwa kwa msemaji wao Haji Manara, Ifuatilie kwa makini video hii mpaka mwisho kujua yote yaliyoongelewa.



Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017