
Hatua hiyo inakuja baada ya Kurugenzi hiyo kupokea malalamiko kutoka kwa mamiss walioshiriki Miss Tanzania 2016 na kushinda nafasi za 2, 3 na 4 kutolipwa fedha zao walizoahidiwa na waandaaji wa mashindano hayo Lino International Agency Ltd.
TSNP imewataja washindi hao kuwa ni Mary Peter Clavery (Miss TZ 02), Grace Christopher Malikita (Miss TZ 03) na Anna Nitwa (Miss TZ 04) ambapo tayari mawakili wemepitia mikataba yao na kujiridhisha kuwa waandaaji wamekiuka.
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini