Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Aslay Afunguka Kuhusu Dogo Janja Na Irene Uwoya


Msanii wa muziki wa Bongo fleva Aslay amefunguka na kusema kuwa msanii Dogo Janja yeye ndiye alikuwa anamvia Irene Uwoya na kusema ni kweli sasa wameoana na wanaishi kama mume na mke.

Aslay amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Frida Night Live (FNL) na kusema kuwa yeye anachojua watu hao saizi ni mume na mke na si kweli kuwa Irene Uwoya kwamba alikuwa anamvizia sana Dogo Janja bali yeye anaamini kuwa huenda Dogo Janja ndiye alikuwa anavizia penzi la Irene Uwoya.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017