Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Aunt, Iyobo Na Tunda Kimenuka, Watupiana Matusi Si Ya Nchi Hii

VIDEO vixen asiyeishiwa stori kwenye mitandao ya kijamii, Tunda ameingia kwenye bifu la aina yake na Aunty Ezekiel na mpenzi wake, Mose iyobo baada ya mdada huyo kusemekana anadaiwa mkwanja ambao alitakiwa kulipia pombe alizokunywa.

Bifu hilo limetikisa jioni ya leo baada ya post kuanza kusambaa wakirushiana maneno makali (mengine tumeyafisha kulingana na maadili ya Kitanzania) jambo ambalo limezua mijadala miongoni mwa mashabiki wao.

Inavyoonekana kutokana, Tunda anadaiwa pesa za pombe na Aunt, kiasi cha Tsh. 100,000/= ambazo kwa maelezo yake anadai alimpa Mose Iyobo. Hapo ndipo tifu likaanza, fuatilia mwenyewe kilivyonuka.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017