
Beki tegemeo wa Real Madrid, Sergio Ramos akitoka nje kumpisha Nacho baada ya kushindwa kuendelea na mchezo dakika ya 46 kutokana na kuvunjika pua kufuatia kugongana na mchezaji wa Atletico Madrid, Lucas Hernandez katika mchezo wa La Liga wa mahasimu wa Jiji la Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano uliomalizika kwa sare ya 0-0.
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini