Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Post Ya Haji Manara Baada Ya Ushindi Wa Yanga Dhidi Ya Mbeya City

Baada ya ushindi wa goli 5-0 dhidi ya Mbeya City, huku magoli ya Yanga yakifungwa na Obrey Chirwa matatu na Emmanuel Martin mawili, Afisa Habari wa Simba Haji Manara pamoja na utani wake leo kawapongeza na hiki ndicho alichokiandika katika ukurasa wake wa Instagram.


Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017