
Moja kati ya Maafisa habari ambao wamekuwa na Mbwembwe hasa wanapopata nafasi ya Kuandika au Kuongea kuhusu Mpira Haji Manara wa Simba amekuwa Kivutio sana hasa anapoongelea Utani kwa Yanga na Kuisifia Klabu yake ya Simba.
Baada ya Mchezo kati ya Ihefu na Yanga ulioisha kwa Yanga kupata Ushindi kwa Penati 4 kwa 3 dhidi ya Ihefu ya Mbarali mkoani Mbeya Haji Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram...