Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Haji Manara ataja Kilichomchukiza wakati Yanga ikiwatoa Ihefu FA cup

Moja kati ya Maafisa habari ambao wamekuwa na Mbwembwe hasa wanapopata nafasi ya Kuandika au Kuongea kuhusu Mpira Haji Manara wa Simba amekuwa Kivutio sana hasa anapoongelea Utani kwa Yanga na Kuisifia Klabu yake ya Simba. Baada ya Mchezo kati ya Ihefu na Yanga ulioisha kwa Yanga kupata Ushindi kwa Penati 4 kwa 3 dhidi ya Ihefu ya Mbarali mkoani Mbeya Haji Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram...

Ile Ishu Ya Simba Kuandika Barua Wakitaka Mechi Yao Na Azam Isogezwe Iko Hivi...

Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba ni kama imeanza kuingia mchecheto baada ya kuitaka Bodi ya Ligi (TPLB) kusogeza mbele mechi yake dhidi ya Azam iliyopangwa kuchezwe Februari 11 mwaka huu. Simba yenye pointi 35, inachuana vikali na Azam wenye 30 katika msimamo wa ligi na Mabingwa watetezi Yanga waliovuna 28, katika kuliwania taji hilo la ubingwa la ligi. Mkuu wa Kitengo cha Habari...

Kocha Mpya Simba Alia Na Niyonzima , Atoa Kauli Hii…

Kocha mkuu wa klabu ya Simba Pierre Lechantre amesema anahiyanakumuona kiungo wa kimataifa wa Rwanda Harun Niyonzima akirejea dimbani baada ya kupona majeraha ili kuongeza ushindani katika timu. Kocha huyo raia wa Ufaransa amesema kuwa anamfahamu vyema Niyonzim kuwa ni mchezaji mwenye kipaji lakini anahitaji kukiona uwanjani  ili aweze kumpatia nafasi katika kikosi chake. “Uongozi na benchi...

Jikumbushe Wafungaji Bora Wa Ligi Kuu Bara Hadi Baada Ya Mechi 15 Kwa Kila Timu

2017/18 Okwi Simba 12 Habib Haji Mbao 7 Mohammed Rashid Prisons 7 Obrey Chirwa Yanga 7 John Bocco Simba 7 Kichuya Simba 6 Ajibu Yanga 5 Marcel Boniventure Majimaji 5 Asante Kwasi Simba 5 Akiwa Lipuli alifunga manne Paul Nonga Mwadui 4 Eliud Ambokile Mbeya 4 Mbaraka Yusuph Azam 3 Venus Ludovick Kagera 3 Danny Usengimana Singida 3...

Suala La Kujiamini Ubingwa Mapema, Kocha Simba Awapa Neno La Tahadhari Wanasimba

Kutokana na mwendo wa kikosi cha Simba katika Ligi Kuu Bara, wengi wanaamini lazima kitabeba ubingwa. Kocha Msaidizi wa Simba Mrundi, Masoud Djuma ametamka kuwa ni ngumu kutabiri Ubingwa wa Ligi Kuu Bara kutua Msimbazi katika mzunguko huu wa pili licha ya kuongoza katika msimamo. Simba hivi sasa inaongoza katika msimamo wa ligi kuu wakiwa na pointi 35 wakifuatiwa na Azam FC wenye 30...

Ambaka Askari Mwenzake Baada ya Kumringishia Uume Mrefu

ASKARI wa Uingereza aliyewahi kuwa shujaa wa vita nchini Afghanistan, hivi majuzi alimbaka askari mwenzake wa kike baada ya kujigamba kwamba alikuwa na uume mrefu. Haya yalisema mahakamani ambapo Luteni-Kanali Chris Davies anashitakiwa kwa kumbaka askari ambaye ni mama wa watoto wawili na  umri wa miaka 53 katika tukio linalodaiwa kufanyika huko Kingston, Ontario,  Canada. Davies...

Mama Diamond Ampost Wema Aandika Ujumbe Huu "Nyinyi Ongeeni Chambaneni Sisi Tunapiga Pesa"

Maneno yamekuwa mengi baada ya Wema Sepetu kupanda kwenye stage na kumuita Diamond Platnumz wakiwa Maisha Basement na wengi  kujiuliza kuhusu ukaribu wao tokea wakiwa Hyatt Regency katika utambulisho rasmi wa msanii Marombosso katika record label ya WCB. Mama Diamond akaamua kupost instagram sehemu ya video clip Wema akiwa kwenye stage na kuandika “KWA HERUFI KUBWA NYIE ONGEENI CHAMBANENI...

Kibaka Amuingiza Mjini Pluijm Wamuibia Mkoba wa Fedha

MUDA mchache baada ya kushuhudia timu yake ikipata bao la pekee katika dakika za nyongeza dhidi ya Tanzania Prisons juzi, Kocha wa Singida United, Hans van der Pluijm, alijikuta akiingizwa mjini na vibaka kwa kuibiwa mkoba wa fedha wakati akishangilia bao hilo. Pluijim aliibiwa mkoba huo uliokuwa na simu aina ya Sumsung Pro 9 yenye thamani ya Sh. 1,575,700,  pochi ('wallet'), leseni ya...

Wastara Amfungukia Mange Kimambi na Wanaomtuhumu Kuwa Tapeli

Msanii wa filamu wa bongo Wastara Juma ambaye hivi karibuni amepewa mchango wa milioni 15 na familia ya Rais Magufuli, amewajibu watu wanaomtuhumu kuwa tapeli kwani hana ugonjwa unaomsumbua. Akizungumza na mwandishi wa www.eatv.tv Wastara amesema kabla ya kuomba michango alijitahidi sana kujitafutia mwenyewe hiyo pesa kwani hakutaka pesa ya mtu mwengine ije imsaidie, kwani alijiona anakuwa...

Aunt, Iyobo Na Tunda Kimenuka, Watupiana Matusi Si Ya Nchi Hii

VIDEO vixen asiyeishiwa stori kwenye mitandao ya kijamii, Tunda ameingia kwenye bifu la aina yake na Aunty Ezekiel na mpenzi wake, Mose iyobo baada ya mdada huyo kusemekana anadaiwa mkwanja ambao alitakiwa kulipia pombe alizokunywa. Bifu hilo limetikisa jioni ya leo baada ya post kuanza kusambaa wakirushiana maneno makali (mengine tumeyafisha kulingana na maadili ya Kitanzania) jambo ambalo...

Madee Afungukia Bifu Lake Na Roma

BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa Ngoma ya Sema, Hamadi Ally ‘Madee’ hatimaye amefungukia kile kinachodaiwa kuwa ni bifu zito lililopo kati yake na msanii mwenzake, Ibrahim Musa ‘Roma Mkatoliki’. Akipiga stori na Risasi Vibes, Madee alisema suala la uwepo wa bifu kati yake na Roma ni hisia tu zinazo-zushwa na mashabiki kutokana na vijembe wanavyo-tupiana na msanii huyo...

Barnaba Ataja Kinachomuingizia Mkwanja Mrefu

STAA wa Bongo Fleva mwenye sauti ya kipekee, Elias Barnaba amesema kuwa kitendo cha kuwatungia mastaa ngoma zao hasa wa kike kimemfanya kutengeneza mkwanja mrefu. Akichonga na Risasi Vibes, Barnaba ambaye kwa sasa amejitoa THT na kuanzisha lebo yake ya Hightable Sound alisema, hawezi kutaja mpaka sasa amepata kiasi gani lakini wasanii wa kike wengi aliowatungia ngoma wamekuwa wakimlipa...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya January 31

...

Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBC Tido Mhando Afikishwa Mahakamani

Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi. Mhando anakabiliwa na mashtaka manne ya matumizi mabaya ya madaraka na moja la kuisababishia Serikali hasara ya Sh887 milioni akiwa TBC. Tido alifikishwa mahakamani hapo saa 5:22 asubuhi na aliingizwa katika ukumbi wa mahakama...

Nabii Tito Ajaribu Kujiua....Ashonwa Nyuzi 25

Siku mbili baada ya kukamatwa na polisi kwa mahojiano kwa Tito Machibya, maarufu Nabii Tito, anadaiwa kujaribu kujiua kwa kujikata na wembe tumboni na kushonwa nyuzi 25. Nabii Tito alikamatwa na polisi mkoani Dodoma kwa kosa la kufundisha mafundisho yaliyo kinyume na dini kwa kuhamasisha watu kunywa pombe kwani si dhambi na kuoa wafanyakazi wao wa ndani ambapo hata hivyo, jeshi hilo lilisema...
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017