Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

IGP Sirro Aanza Kazi kwa Kutoa Amri Hii kwa Polisi Wote Nchini.


Leo baada ya kamanda Simon sirro kuapishwa kuwa IGP ametoa onyo kwa wahalifu wote wanaendelea kufanya mambo ya ajabu.

"Watanzania sasa tushirikiane kukomesha Uhalifu kwa pamoja, atoa salamu kwa wahalifu wote" asema kamanda Sirro.

Sasa wale wauaji wa Kibiti na sehemu nyingine mjiandae Kamanda amekuja tena.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017