Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Kauli Ya Kwanza Ya Halima Mdee Baada Ya Kuadhibiwa Kutohudhuria Vikao Vya Bunge

Baada ya kupatiwa adhabu ya kutohudhuria vikao vya bunge vilivyobakia Mbunge wa Kawe Mh. Halima James Mdee ameibua mapya na kusema porojo za Dodoma hazimuumizi kichwa na badala yake anaangalia zaidi suala la kumsindikiza Muasisi wa chama.

Kipitia ukurasa wake wa twitter Mh. Mdee ameandika kwamba

"Tunamsindikiza jemedari wa mageuzi Mhe. Philemon Ndesamburo kwenye nyumba ya milele!, porojo za Dodoma haziniumizi kichwa" aliandika Mdee kupitia ukurasa wake wa twitter.
Tunamsindikiza jemedari wa MAGEUZI MHE PHILEMON NDESAMBURO kwenye nyumba ya milele!Porojo za DOM haziniumizi kichwa!





Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017