Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

CUF Lipumba, CUF Maalimu Seif Wazichapa tena Mahakamani


HALI ya Taharuki Kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeibuka Leo wakati wafuasi wa pande wa Chama cha Wanachi (CUF)  kukutana kwenye kesi zilizfunguliwa na bodi ya wadhamini ikidai ruzuku za chama hicho zilizodaiwa kuzuiliwa na Msajili wa vyama vya siasa Nchini.

Wafuasi hao waligawanyika kundi moja likiwa  upande wa katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Ahmad na wengine kuwa kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Professa Ibrahimu Lipumba walishikana na mashati na kurushina maneno mahakamani hapo. 


Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017