Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Giggy Amuwakia Mzee Majuto

Msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’.
VIDEO queen ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amemuwakia lejendari wa vichekesho Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ kwa kumchana tabia yake (Gigy) ya ku­piga picha za utupu na kuposti mitandaoni.
Lejendari wa vichekesho Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’.
Gigy aliiambia 3-Tamu kuwa, anam­shangaa Mzee Majuto kwa kumfuatilia maisha yake na kama hapendi, basi asiangalie picha zake.
“Kama hapendi swaga zangu ya nini asumbuke kutazama picha zan­gu. Hayo ndiyo maisha n­gu niliyo­chagua, akiyafua­tilia, ataumia kichwa bure, sioni cha ajabu kwangu kwa sababu kuna wasanii wengi tu wanakaa utupu,” alisema Gigy ikiwa ni siku chache tangu Mzee Majuto alipom­taka kuacha tabia hiyo.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017