Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

JPM Amteua Prof.Luoga Kuwa Mwenyekiti TRA

Rais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania, John Pombe Magufuli leo tarehe 11 julai, 2017 amefanya uteuzi na kumteua Prof. Florens D.A.M Luoga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Prof. Florens D.A.M Luoga amechukua nafasi ya Bernard Mchomvu ambaye bodi yake ilivunjwa na uteuzi wake kutenguliwa.
Prof. Florens D.A.M Luoga ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (Taaluma).

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017