Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

200 Wauawa Kwenye Maporomoko Ya Ardhi, Sierra Leone

Maporomoko Sierra Leone.
WATU 200 wameuawa na wengine ambao idadi yao haijafahamika hawajulikani walipo baada ya maporomoko ya ardhi kuikumba Sierra Leone leo Jumatatu, Agosti 14, 2017.
Taarifa zimeeleza kuwa, eneo moja la milima liliporomoka mapema kufuatia mvua kubwa, na kusababisha nyumba nyingi kufukiwa na udongo na mawe yaliyokuwa yakishuka kutoka milimani.
Baadhi ya raia waliokuwa eneo la tukio wameokolewa huku maafa makubwa yakiarifiwa kutokea katika  Mji wa Free Town.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017