Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Chuchu Saa Sita za Irene Uwoya Zawatoa Mate Wapenda lamba Lamba...Mwingine Atokea na Kuzikosa


Hivi karibu Mrembo Irene Uwoya ameweka picha kupitia mtandao wake wa Instagram zikionyesha Chuchu zake zikiwa zimesimama kama za Kigoli wa Miaka 17 kitu ambacho kimezua mjadala mkubwa kwa midume yenye uchi huku wengine wakizisifia na Wengine kuziponda


Huyu Mdau Jamii Forums amekosa vikali na Kuandika haya:


By Ubarinolutu

 "Watu wamekuwa wakimsifia kuwa irene uwoya ni chu chu saa sita kitu ambacho c kweli, irene ana mtoto mmoja hivo awezi kuwa na hayo mambo saa sita. Ninachiweza kueleza ni kuwa kutokana na irene uwoya kuwa maziwa madigo yaani small titts basi inasabisha nipples(chuchu) kiwa na small displacement baada ya kuzaa, hivo nipples huwa zinashuka kidogo yaani kati ya cm 2 hadi 2.5 na hutokana na kuwa na viziwa tudogo tofauti na mtu mwenye ziwa kubwa ambaye huwa ana nipples displacement kubwa yaani inch 2 hadi 3 mpaka kuonekana malapa.

Kiutaalamu watu wenye maziea madogo hata ziwa likianguka chuchu zso hua zinapoint mbele yaani 90 degree tofauti na wengine wenye miziwa mikubwa ambapo ziwa likianguka kiwa zinakwe da hadi 30 degree downward.
Kwa hiyo uwoya hana chuchu saa sita. Angalia picha vizuri chini hapa ziwa limelala ila chuchu zinapoint mbele." Aliandika  Ubarinolutu

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017