Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Haya ndio majina 12 ya makocha wanaowania tuzo ya kocha bora wa mwaka 2017 FIFA


Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) limetangaza majina ya makocha kumi watakaowania tuzo ya kocha bora wa mwaka 2017.

Katika kinyang’anyiro cha kuwania tuzo makocha kutoka ligi kuu England (EPL) wameongoza kwa kutajwa kwa majina manne, Ligi kuu ya Hispania (La Liga) Hispania majina matatu, Ligi kuu Ujerumani (Bundesliga) imetoa majina mawili huku Ufaransa na Italia ikitoa jina moja moja.

1- Massimiliano Allegri-Juventus

2- Carlo Ancelotti-Bayern Munich

3- Antonio Conte-Chelsea

4- Luis Enrique-Hispania

5- Pep Guardiola-Manchester City

6- Leonardo Jardim-AS Monaco

7- Joachim Low-Ujerumani

8- José Mourinho-Manchester United

9- Mauricio Pochettino

10- Diego Simeone-Atletico Madrid

11– Tite-Brazil

12- Zinédine Zidane-Real Madrid

Upigaji kura unaanza Agosti 21 na kufungwa Septemba 7 mwaka huu, kura zitapigwa na Makocha wa timu za Taifa, Manahodha, baadhi ya Wawakilishi kutoka vyombo vya Habari mbalimbali vitakavyoteuliwa pamoja na Mashabiki kwa Mujibu wa FIFA.

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017