Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Kichanga cha Faiza Ally Cha Anza Kutembezwa Kwenye Mitaa Wakati Hata Wiki Hakijafikisha

Naona sasa hivi utandawazi umekuwa kwa kasi sana kichanga hakija fikisha hata siku 7(wiki moja) kinaanza kutembezwa kwenye mitaa,hili nimeliona kwa mrembo Faiza Ally.




Nb:Wabobezi wa mambo ya Afya na dini hii imekaaje? Piteni mtutoe tongo tongo kwenye hili.

By Ndumilakuwili

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017