Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Picha ya Lemutuz Akila Wali Maharage Yazua Maswali, Baada ya Kujifananisha na Billgates



Huku mitandani watu wanajiuliza kuwa eti kula wali maharage ni kujishusha ? baada ya Lemutuz kupost picha akiwa anakula wali maharage huku akiwa ameuganisha na ile ya Billgates ....

Soma Comment ya Lemutuz hapo juu alafu utuambie kama kula wali maharage ni kujishusha....

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017