Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter

Vera Sidika Awatolea Povu Wasichana Wa Naigeria.



Mwanadada  maarufu wa nchini Nairobi Vera Sidika  amewatolea povu wasicha wa nchini Nigeria wanaosema wasichana Wageni wanawachukulia Mabwana zao akiwemo yeye.


Vera ameandika kwenye mtandao wake wa Instagram akisema ni vichekesho  sana kuona  wasicha hao wa Nigeria wanasema wanaibiwa mabwana zao wote na wasicha wageni .

Amesema wanatakiwa wawadhibiti wanaume wao wasiwe na mahusiano na wasicha wanaotoka nchi zingine na sio kutoa lawama  kwani wanaume hao  ndo huwafuata wageni.

"Mnatakiwa mjiulize wenyewe kwanini  hii inatokea wanaume zenu wanatufuata sisi wageni na kuwaacha nyie na sio kuwanyooshe

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka

===

Tupe Maoni Yako Hapa Chini
 

Mawingu Blog | Home Of Newz Copyright © 2017