Muigizaji wa vichekesho nchini kutoka kundi la Orijino Komedi, Joti ameuaga ukapela baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake katika Kanisa Katoliki la Magomeni jijini Dar.
Chanzo Global Publishers
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini


