Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Jasson S. Rweikiza (Mb) akichangia hoja mara baada ya Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro kuwasilisha Taarifa ya uhakiki wa watumishi na vyeti vya kufaulu mtihani wa kidato cha nne, cha sita na ualimu kwenye Kamati hiyo.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akisikiliza hoja mbalimbali toka kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa, mara baada ya kuwasilisha Taarifa ya uhakiki wa watumishi na vyeti vya kufaulu mtihani wa kidato cha nne, cha sita na ualimu kwenye Kamati hiyo.
Usipitwe na Habari Muhimu, Install App Yetu
Android ===> Bofya hapa

Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini


