
Mwigizaji staa wa Tanzania Lulu leo amehukumiwa kwenda jela kwa miaka miwili kufuatia kesi iliyokua ikimkabili ya kuua bila kukusudia na kupoteza maisha ya Mwigizaji Steven Kanumba, hii video hapa chini ni Lulu akichukuliwa kupelekwa gerezani.
VIDEO:
Bonyeza HAPA Kudownload Applicationi Ya Mawingu Blog Kwenye Simu Yako Ili Kupata Habari Zetu Haraka
===
Tupe Maoni Yako Hapa Chini

